HIZI HAPA PICHA NYINGINE 65 KALI QUALITY KUTOKA KWENTE B DAY PARTY YA DIAMOND (CHIBU DANGOTE)


.
Mwimbaji staa wa bongofleva Diamond Platnumz au Nasibu Abdul Juma alizaliwa October 2 1989 ambapo akiwa darasa la tano ndio akaanza kuonyesha kwamba anaupenda muziki ambao miaka kadhaa baadae ndio umekuja kuikomboa familia yake na yeye mwenyewe kuweza kuishi maisha mazuri.
.

Kwenye hii party ambayo ilifanyika Golden Jubilee Towers Dar es salaam Kilimanjaro hall ilihudhuriwa na mastaa mbalimbali wa Tanzania wakiwemo Waigizaji, Watangazaji wa Radio na TV, Wasanii wa bongofleva na wengine.
.

.

Kwenye party hii management inayomsimamia Diamond ilimzawadia Diamond gari aina ya BMW ambayo inaonekana kwenye picha kama zawadi kwenye hii siku yake kubwa ambapo miongoni mwa mastaa waliohudhuria pia ni pamoja na T.I.D, Chidi Benz, Profesa Jay, B12, Mwigizaji Lulu, Ommy Dimpoz na wengine.

.

.
.

.

.
.

.
.

.
DSC_0241

.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
DSC_0567

DSC_0569

DSC_0581

DSC_0635

.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.

.
.


.CD

0 comments: