IDRIS MSHIRIKI MTANZANIA BIG BROTHER ACHANGANYWA NA ‘MASSAGE’
Johannesburg, Afrika Kusini
OOIISSHH!!! Kadri siku zinavyozidi kwenda mbele katika mjengo wa Big Brother huko Afrika Kusini, ndivyo ambavyo matukio mazuri na ya kimahaba zaidi yanavyozidi kutokea. Juzikati, mshikaji wetu kutoka pande hizi alijikuta akifanyiwa ‘massage’ kabambe kutoka kwa bi shosti Goitse kutoka pande za Botswana.
OOIISSHH!!! Kadri siku zinavyozidi kwenda mbele katika mjengo wa Big Brother huko Afrika Kusini, ndivyo ambavyo matukio mazuri na ya kimahaba zaidi yanavyozidi kutokea. Juzikati, mshikaji wetu kutoka pande hizi alijikuta akifanyiwa ‘massage’ kabambe kutoka kwa bi shosti Goitse kutoka pande za Botswana.
Alichokifanya Goitse ni kumvua Idris
nguo na kisha kuanza kumfanyia ‘massage’ iliyoonekana kumpagawisha sana
msela kwani kwa jinsi alivyokuwa akiminywaminywa, alikuwa akitabasamu
tu.
Unaweza kutazama Big Brother kwenye king’amuzi cha DSTv channel 198.
Unaweza kutazama Big Brother kwenye king’amuzi cha DSTv channel 198.
0 comments: