UNAAMBIWA WEMA SEPETU AZUA KIZAAZAA HUKO KWENYE GEREZA LA CHINA
KUONESHA ameguswa, Beautiful Onyinye, Wema Sepetu ‘Madam’ alizua kizaazaa cha aina yake alipomtembelea mwanamitindo Jacqueline Fitizpatrick Cliff ‘Jack Patrick’ gerezani nchini China.
Tukio hilo lilitokea juzikati kwenye gereza lililopo Mji wa Macau ambapo Wema aliambatana na meneja wake, Martin Kadinda pamoja na shemeji yake, Petit Man.
Tukio hilo lilitokea juzikati kwenye gereza lililopo Mji wa Macau ambapo Wema aliambatana na meneja wake, Martin Kadinda pamoja na shemeji yake, Petit Man.
Chanzo kilicho
karibu na Wema kimeeleza kuwa, Wema alipofika na kuona mazingira ya
upweke ambayo Jack anaishi, aliwaza kwa muda na kuzungumza maneno kama
mtu aliyechanganyikiwa hivyo kuwatia hofu Martin na Petit.
Jack alikamatwa Desemba 19, mwaka jana akiwa amebeba madawa ya kulevAAya aina ya Heroin yenye uzito wa kilo 1.1 katika Uwanja wa Ndege wa Macau akitokea jijini Bangkok nchini Thailand kuelekea Guangzhou, Mji Mkuu wa JAimbo la Guangdong Kusini mwa China.
Agosti, mwaka huu Jack Patrick ilielezwa kuwa alihukumiwa kifungo cha miaka sita jela huku kukiwa na uwezekano wa kupunguziwa adhabu endapo ataonesha utiifu gerezani.
0 comments: